Monkey trader stoned

Mawe yatiririka
Moyo wapiga
Kila mtu
Anawika
Hajui vile ya kusema
Mawe tunapewa

Moss moss
Moss moss
(Pole pole) moss moss
(Twazitupa) moss moss
Haraka haraka haina Baraka

Tears of Joy
Baboun kula hiyo mawe
[ATTACH=full]69753[/ATTACH]

25 Likes

Shiny eye tuko hapa Chuka tunangojea Ankoli[ATTACH=full]69754[/ATTACH]

1 Like

This is not good at all. Can’t Kenyans be more tolerant?

7 Likes

RWNBP.

2 Likes

His defence of Kidero kwa ile story ya Mumias Sugar haikubamba watu wengi. Pia his company owes some monies to Musco.

4 Likes

They know, halafu anatembea na Oparanya who is a corrupt governor, in the same locality where people’s livelihoods have been affected by graft. Hapo, alijikaanga na mafuta yake mwenyewe.

1 Like

Aki huyu mrembo wa Avator yako ni msupa

Serves him right, those politicians should be accountable at all cost and when such peasants start raising their voices know it’s a matter of time before a revolution. # optimist for change

1 Like

pang’ang’a hii kabisa. normally wewe huleta picha poa za development lakini hapa umekaa kwa jikoni ukipika sana.

[ATTACH=full]69764[/ATTACH] Those are Jubilee theatrics. Today we held a mega ODM conference in Kakamega. We know that guy Rashid was given some few pieces of meat. He is just doing his job.

2 Likes

Ile MEFFI @Jakoyo enye imezoea kunitag ofyo ofyo iko wepi leo? Why do you report bad news from one side?

1 Like

@pamba, your friend alikuwa in action
http://www.the-star.co.ke/sites/default/files/articles/2016/11/25/cord_leader_raila_odinga_with_former_odm_national_youth_leader_rashid_mohammed_during_a_chaotic_rally_at_shibale_shopping_centre_november_25_2016.jpg

1 Like

He he he,rashid sio rafiki boss don’t associate me with a known hooligan.

2 Likes

Anawekwo drip Nairobi women hospital

4 Likes

Uyu Governo anatuchesa sana

2 Likes

Jakoyo and your fellow Cord brigade kujeni hapa.:D:D:D

1 Like

Wapi…:D:D:D:D:D:Dthey are awaiting the imaginations from odm crematory house to try and spin it. Utasikia it was Jubilee Party supporters in Kakamega (asante sana chama inawafuasi Kenya nzima). “Walilipwo” enyewe sisi si maskini lakini pia babuon amechokesha watu etc. Lakini come think of it in 2016 babuon ameona maneno western yote from Vihiga, Busia and Bungoma earlier in the year and now twice in Kakamega county. Tulidanganywa na “Western is Locked” panganga.

2 Likes

saaa akiongezwa M4ff2O4 drip si hii kijiji haitakalika

Baba Babuon, come save Kenya from the entrenched corruption in the counties. Pointing out corruption in the National Government uko sawa.