habari zenu.hapa tu ni kukula kwa masho kamrembo kengine kameletwa karibu na desk yangu. nkiangalia masaa.haisongi jo
mbisha ni wewe
[ATTACH=full]56053[/ATTACH]
pigeni mbicha kama navy seal na quadri signature pia lazima
mbicha ama unangalia bingwa scrotum
[ATTACH=full]56062[/ATTACH]
Ha ha ha wacha ufala msee
hahahaha.si mnataka mbisha.acha akiamka nimpege photo moja niwaletee
dame ni mgani apo sasa…ama ni mkono yako ya left inakubamba…leo washa shineray nayo
Hapa ni kutoa lock na hinges. Apana tambua Monday meffi[ATTACH=full]56065[/ATTACH]
hio soda madiaba si ungenunua mkate nusu uteremshe nayo .
hahaha.acha izo wewe
hahahaha.mbona ujaambia msee poa
katechno hata kafichwe, uwess kosa kukatambua:)
achana na mimi riddim man
Tutaongeza io dose anko lichott
Wekelea picha ya momo tusafishe macho! MEFFI
WEWE NI BROKER? AMA UNAFANYIA INSURANCE GANI?
TUDANGANYE HIYO NI YAKO!!!
haha.kaka hio macho yako ni kali.unezoom hadi ukaona premium.
leta biashara.am not broker but in the industry
:D:D:D:D:D bado iko na hio jina!
heh
hehehehehe sisemi kitu