Momo kusquirt...

This site has gone to the dogs aki…
Cc @Mathaais
[ATTACH=full]187084[/ATTACH]

Nilisema hivyo kitambo sana mkaona kama nimeongea vibaya

Hama bas.
Diep.

Differential Diff Unit, ni headache tupu. Lakini naona hio basin ikileta shida kwa nyumba.

I am agreeing with you halafu unaniambia nihame pumbavu wewe

Thought so too

Mama watoto ain’t letting him go just like that.

Mutu itawekwa kwa doghouse, abaki aki cuddle up to this site…you know…since it went to the dog’s
Na sijaitana umbwa

Makanika unakunywa WD40 usiku kucha?

:D:D:D:D:D

Title gani unaweka hapa? Nkt. Na uki kunywa fombe zima internet.

Momo?.. Navile nimekuja mbio… Fcukin seit!

Hiyo bisen nimetupa.
:D:D

:DUmeitupa wapi? you have dug yourself into a deeper hole. I love all my utensils and pots and almost know them off head. Ataitafuta na atajua NIWEWE:D…keep us updated.

Utuelezee how she will be later…:smiley:

[ATTACH=full]187085[/ATTACH]
Sikilia tu hii

The script be like…
Bibi…beseni yangu imeenda wapi…
Mboch…gani? while peeling some omenas innocently
Bibi…ile ya blue ile ya ok hiyo nilinunua Tuskys
Mboch…looks around with a scared look on her face etc…gani Mama Atieno? ni hii?
Bibi…apana…
Intro Jifathee…remote in hand ups the volume…and comes to Ktalk.

Start loading the hekaya vile it will go down.

:D:D:D:D:D:D:D

:D:D:D
Nimepeleka bisen road trip Southern Bypass.

DO NOT INSERT FINGER:D:D:D…

[ATTACH=full]187089[/ATTACH]