Mombasani

[ATTACH=full]21631[/ATTACH] [ATTACH=full]21632[/ATTACH]
Gavana wa kaunti ya Mombasa,Hassan Joho amemuomba rais Uhuru Kenyatta, kuingilia kati tatizo la msongamano wa magari katika eneo la Taru lililopo katikati mwa mji wa Mariakani na Voi, ambalo limekuwa likilemaza shughli za usafiri.

Aidha Hassan ameongeza kuwa wakati kama huu wa likizo ndefu, itakuwa vigumu kwa eneo la Pwani kupokea watalii wengi kutoka nchini na mataifa ya nje kama kawaida yake endapo changamoto hiyo haitakabiliwa kwa haraka.

Hatahivyo msongamano huo umesababisha uhaba wa chakula kufikia wakaazi wa Pwani kutoka maeneo ya bara kwa takriban wiki nzima sasa.
Nikiripoti toka kisiwani Mombasa ni mimi wako, Merrrrrrrrrrrriaaaaaa Mataaaaaaaaa

5 Likes

earlier today, hii corridor imekua balaa, before you get to Taru jam yaanza kibarani hadi mariakani, na hii nikitu ya daily.
@Da Vinci uliona hii ya leo?
[ATTACH=full]21633[/ATTACH] [ATTACH=full]21634[/ATTACH] [ATTACH=full]21635[/ATTACH] [ATTACH=full]21636[/ATTACH] [ATTACH=full]21638[/ATTACH]

1 Like

Kama unaishi Mikindani balaa

There was a dirt road passing through Tsavo inatokea Kilifi County, u know it? And the other junction that chomokas at Kwale but sijui mtu anaingilia wapi

1 Like

Is Taru a well orchestrated plan to push transporters to the SGR solution?

7 Likes

kwani ugonjwa wa jam ya nairobi imeenda coast

Waah and i was planning nikam coast…sasa nikucjsnge plan nikuje by air

Hizo jam zimezidi, wah!!! Mtafanya wabara wasikuje huko December. Na vile wanangojewanga na hamu wapewe ukimwi warudishie mabibi zao.

6 Likes

hehehe

i find reading in kiswahili very stressful

Juzi wed nilienda mariakani. Between changamwe na mazeraas, i spent three hours na mimi ni mtu wa kata funua. Jana was at jomvu. Nilipita changamwe at 1pm nikafika jomvu saa tisa ma robo. Ni kubaya

1 Like

“…Aidha Hassan…” = New meaning ask @Deorro

Kata funua…tafadhali fafanua

Hehehe. “Overlaping” for upcountry

Good of you @paparazzi! I suggest you make a full thread where anyone who knows a panya-route, a short cut, an easier way to drive, can tell us about it and maybe it could immensely help someone in a stuck!

2 Likes

Hii yote, my Friend, ni hujuma! Dhuluma!

Stori imeshafika bbc… Naskia watu wa me lala huko siku tatu… Sokoni food prices have inflated… Last week… A kG of tomatoes was 80,jana 120

2 Likes

Pole buda, afadhali ungetembea…

Nilikuwa na mzigo bro. Else ningechukua boda boda

Hiyo highway needs an alternative… 4000trucks,buses,private cars etc per day… I dread travelling by bus siku hizi, Nina ngoja SGR

1 Like