Mombasani kuna mambo

[ATTACH=full]202851[/ATTACH]

Wapwani kuweni wapole. Sisi wabara hupanda chania kunguni bila kusumbua

i like the retort of the Ma3 owners, eti spray the pax, hehe, Joho ajaribu aone mo fire

Hata za Oyole tushaziozoea, karibu zitujue kwa jina

will be waiting for you at Mwembe Tayari with a pump next time ukiland hapa, hehe

Kwanza mat za Changamwe,Kwa Hola…no faya

Na tukisema weaves ni chafu wengine wanakasirika. :smiley:

Kwanza @GeorgieMakena alishika nare ile siku

Bamburi mtambo chawa mingi sana

Upuuusuuu.

Zile za Port Reitz ndio zina chawa. Gari zinakaa boat.