Mo Dewji: Bilionea wa umri mdogo aliyetekwa kwa siku nane arejea nyumbani salama Tanzania

Katika ujumbe ulioandikwa kwenye ukurasa wa Twitter wa kampuni yake, amesema: “Namshukuru Mwenyezi Mungu nimerudi salama nyumbani. Nawashukuru Watanzania wenzangu na watu wote kote duniani kwa dua na sala zao. Nashukuru mamlaka zote, ikiwemo Jeshi la Polisi, zilizofanya kazi ya kuhakikisha narudi salama.”

Ujumbe huo umeandikwa saa tisa na robo alfajiri, na umeelekezwa kwamba umeandikwa kutoka Dar es Salaam.

[ul]
[li]Gari alilotekewa Mo Dewji limesajiliwa Msumbiji[/li][li]Wasifu wa Mo Dewji, Mtanzania bilionea wa umri mdogo zaidi Afrika[/li][li]Visa 10 vya utekaji nyara vilivyoishangaza dunia[/li][/ul]
Waziri wa Muungano na Mazingira Tanzania Januari Makamba naye ameandika kwenye Twitter kwamba: “Mohammed Dewji amerudi salama. Nimezungumza naye kwa simu dakika 20 zilizopita. Sauti yake inaonyesha yu mzima bukheri wa afya. Shukrani kwa wote kwa dua na sala. Naenda nyumbani kwake kumuona muda huu.”
https://www.bbc.com/swahili/habari-45924745?ocid=socialflow_facebook

Raises more questions than answers

Billionaire got bored… And decided to take a dramatic vacation…

:mad::mad::mad::mad::mad:
 kabisa, raises more questions than answers

kuna nugu hapa zilikua zasema gari ilikua ya kenya, kumbe it was from Mocambiq

[ATTACH=full]202268[/ATTACH][ATTACH=full]202269[/ATTACH]

Tanzanian authorities said the car was from a foreign country that they didn’t name.
Ktalkers decided the foreign country must be Kenya.

swali kuu ni family imelipa Ransomu ya pesa ngapi (swahili.dll)

*fidia

Jamaa alikuwa ameenda kukamua slay queen Mozambique and he feigned his disappearance

I thought so !

I thought so ! …majambazi sugu in TZ are operating from mozabik , Lakini Mimi apana nugu .

Fidia is compensation not ransom

This has all the footprints of govt involvement, He was abducted by Magufuli regime and the desperation is costing Magufuli his credibility and the support of CCM. Earlier Yesterday the police commander KAMANDA SIRRO held a press brief and identified the car that was used by the abductors…today at the wee hours of the morning the same car dropped him and was later dumped not far from the scene. Note that the area is not far from state house,its a secure area and as purported all agencies and citizens were on high alert in tracing that car yet it had access to that area.

MO was once a CCM parliamentarian for Singida for a while,none of his ccm colleagues came out openly and criticized or spoke of the act of abduction. The opposition was steadfast in following up of the issue and still questioning previous kidnapping cases of the same calibre.

I said here once that Magufuli is driving away investors with his IDDI AMIN approach towards anyone who might seem not in line with his neanderthal ways of governing. On this one he did a low budget bongo movie without a script,the audience is aware,unfortunately the actors are not.

Still smells like a stunt.

Neanderthal ways of governing did great, as you can see european nations. Secondly, Magufuli had to clean Tz, kutumbua majipu. Pain ought be felt ukitumbua majipu, but the pain is ours to lament, a majority of Tz are supporting him, there is a little section that was/is affected as he is tumbuaring majipu. They must curse him ofcourse, everybody has haters. But we will be a role model, that a black african nation can geat a good leadership and achieve what was deemed impossible to the black race. Tz encouraged/empowered specially sadc countries, to attain their freedom, we will encourage and be a role model in attainment of economic freedom. Watch this.