[ATTACH=full]492426[/ATTACH]
Hey @ChifuMbitika pokea salamu[ATTACH=full]492427[/ATTACH]
Si kama uko na roho uwekelee pesa cytonn
why is cytonn allowed to advertise
Nimeweka Madison
Siwezi jaribu Cytonn
If it’s too good run
Nimesalimika sana
Hata Madison siezi weka
Hapa Sanlam, COOP, Absa, ICEA, British na maybe Od Mutual.
Sacco always >>> hapa hawajakata admin fee kama 3%
CIC wako ngangari. Huko ndio nimeweka pesa ya kumumunya Nikiingia embobut forest.
I hope wanaambiaga mtu upfront. Isikuwe zile unapewa yellow yellow akusaidie kujaza makaratasi unachanganywa na thighs na saa hio hidden costs ni from here to Timbuktu.
Huwa wanaweka kwa footnote, sacco ya above 9% is better than a 10% mmf