it was his first time in an aeroplane from Nairobi to Kisumu. U can take a mluhya to Rome bt u cannot take away his uluhyaness.
[ATTACH=full]168656[/ATTACH]
carry on luggage? is that allowed?
Yes, under pets
Eish. Mbaya tu. I can imagine what the cabin will smell like huyo kuku akikunya. Umewahi kaa mahali kuku amekunya lakini?
hehe local flights ni kama matatu tu. si wao hubeba kwa matatu kutoka western hadi kawangware
kwanza yule amelalia mayai…
:D:D:D
hate speech
haha sio hate speech huko ni Chavakali ndogo
Kama mzungu anaweza board na doggy what’s wrong with mluhya doing it with his favorite pet?
sijawai kuwa na shida na harufu ma mafi ya kuku nor kuku
hiyo ni kama food reserves…
Wewe huwezi… Si ni mboga?? ![]()
Sioni shida hapo
mluhya mrusi tulia
Hio harufu huwa very strong aki.
I think poop huwa imeanza ku decompose ndani ya kuku
Chicken poop makes the best FYM
FYM ndio nini broda?
Hapa ktalk inaeza maanisha vitu mingi sana.
Farm Yard Manure https://www.lotterypost.com/emoticons/thumbsup.gif
Sawa but lazima ilipiwe cage
Wachana na mluhya. Ebu checki hii:
An unruly pig and its owner were escorted from a US Airways flight after it began defecating on the floor and squealing uncontrollably
[ATTACH=full]168693[/ATTACH]