Mkate ni ksh 65

20230529_104704.jpg

Stop eating this shit man

Unakula nini Eastleigh ya london

Niko Ruaka ya London wacha kuniangusha bei:D

Kula nduma, white bread ya refined wheat ni unhealthy

Na bado finance bill

Garama ya maisa imependa saidi,โ€ฆ Zakayo mtoza ushuru shuka chini.

Ngwaci mbili ni Mia

Unakula meffi

Mkate ni 70. Hio ya 65 labda na connections.

Sipendi hii maisha unaishi, tafuta pesa, hiyo ni strungi?

Nikiwa mtoi mkate mbili na maziwa ilikuwa 50 bob. Saa hii ni 200.

Amefanyaโ€ฆ

Ningeongeza maziwa ingefika ksh90 banae

After unjoti round one unaanza kutetemeka kama generator

si urudi kwa mamako ukuwe mtoi ama unataka ruto akuletee mkate hapo paipu kwa bedshitter

Mimi ni jamaa wa Ruto but hiyo kitu itawaumiza viserious. Watu wanaongea about the housing clause so hawaongei issues kama vat on fuel etc. Life is about to get really expensive over there

Omera, mikate ni ya jaber, nunua mabuon chemsha au nyoyo perfect breakfast.

True tuko per baya

Hapana tambua industrial processed foodstuffs. I eat and live organically to maintain my good health and misuli tinginya.IMG_20230529_111325_801.jpgIMG_20230529_111413_803.jpgIMG_20230529_112031_464.jpgIMG_20230529_111344_631.jpgIMG_20230529_112735_770.jpgIMG_20230529_111535_068.jpg

Story za food huwa pia subjective kuna msee hawezi kula tubers kama hizo ma mduma juu inaleta mashida instead.