Mkapa: Nina mashaka na namna nchi imeanza kutegemea misaada kutoka nje

:Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Mh.Benjamin Mkapa amesema ameanza kuwa na mashaka kwa namna ambavyo nchi imeanza kutegemea zaidi kupata misaada kutoka nje na kusema njia bora ni kuhakikisha nguvu zinaongezwa katika watu kujiletea maendeleo kwa nguvu zao wenyewe.
https://scontent.fdar7-1.fna.fbcdn.net/v/t1.0-0/p235x350/35882073_1607414882702813_3127626070057025536_n.jpg?_nc_cat=0&oh=3a527f9973e2d34d0c0e3f60d173eab7&oe=5BB46C6B

Source: ITV Tanzania

Duuh

atapajiwa lile jibu lake, au yy anamspare

ANAWASHWA WASHWA

“Hii nchi ni tajiri, haiitaji misaada toka nje”

!
!
Acha Amgeuze Geuze Nyoka. Ataiona Miguu Yake.

nakumbuka ilikuwa
kwenye kigoda cha mwalimu UDSM mkapa alisema kuwa kuna kipindi inabidi uwanyamazishe watu wanaokukosoa, jiwe kafanyia kazi ushauri lissu yupo hospital, lakini sasa nadhani wanaona ukweli kama watu wakinyamaza ni hatari kwa taifa naona wameanza kuzungumza wao sasa, ukweli ni kuwa nchi inatembelea kudra za mungu lakini imeshafilisika muda utakuwa mwalimu mzuri, pesa za korosho wamechukua kama haitoshi wametunga sheria ili wachukue kirahisi hofu yangu muda si mrefu hizo wanazochukua kama hazitatosha watachukua za wakulima ni swala la muda tu

Juzi Kinana kafunguka anasema, anasema haiwezekani wanaccm wote wakawa wanawaza sawa, aidha hawajui wafanyalo au wanadanganya.

Beni aache vituko, yeye ndio mfinyanzi wa kile kinyago

Hatimae Lodilofa ameanza kuona malofa tunavotendwa

Lodilofa in stupid mood. Haaahaaa.

na kitambi chake kama amekula mihogo ya ushirombo

Lodi Lofa katika ubora wake

Hajaita mtu pumbavu kweli? Hachelewi kumgeuzia jiwe hilo tusi indirectly na jiwe likachekelea.

Jenerali Ulimwengu alipata kusema: bahati mbaya watu wanapata akili baada ya kutoka madarakani.

Tutaona mengi sana … ulishawahi kuwa huna hata mia ghafla ukapata elf10? utakavyohangaika nayo usijuie baada ya lisaa hakuna kitu… huyu alivoona hazina kuna hela asijui inawekwa huko akaanza kutapta mara hatutahitaji msaada mara ooo sisi tunatakiwa tuwe wafadhila akazibeba juu juu kwenda kununua bombadier mara kujenga uwanja chato ooo mara kupelea makao makuu Dodoma vyote hivyo haviko kwenye plan mnategemea nini? kwani hiyo ni hela ya mshahara ya kwamba mwisho wa mwezi utapata ingine let us see and learn

Uyu mzee ataacha lini unafiki?

Umeongea kwa kifupi sana. Ilikuwaje hadi akasema hivyo?

Evelyn!

mambo