nakumbuka ilikuwa
kwenye kigoda cha mwalimu UDSM mkapa alisema kuwa kuna kipindi inabidi uwanyamazishe watu wanaokukosoa, jiwe kafanyia kazi ushauri lissu yupo hospital, lakini sasa nadhani wanaona ukweli kama watu wakinyamaza ni hatari kwa taifa naona wameanza kuzungumza wao sasa, ukweli ni kuwa nchi inatembelea kudra za mungu lakini imeshafilisika muda utakuwa mwalimu mzuri, pesa za korosho wamechukua kama haitoshi wametunga sheria ili wachukue kirahisi hofu yangu muda si mrefu hizo wanazochukua kama hazitatosha watachukua za wakulima ni swala la muda tu
Tutaona mengi sana … ulishawahi kuwa huna hata mia ghafla ukapata elf10? utakavyohangaika nayo usijuie baada ya lisaa hakuna kitu… huyu alivoona hazina kuna hela asijui inawekwa huko akaanza kutapta mara hatutahitaji msaada mara ooo sisi tunatakiwa tuwe wafadhila akazibeba juu juu kwenda kununua bombadier mara kujenga uwanja chato ooo mara kupelea makao makuu Dodoma vyote hivyo haviko kwenye plan mnategemea nini? kwani hiyo ni hela ya mshahara ya kwamba mwisho wa mwezi utapata ingine let us see and learn