Pia inawezekana maana kuna watu wamebadirika
hata mimi niko na ID tofauti kabisa
Alipigwa ban
Wakuu twendeni JF
Tukachat pm
Ban ya jf au huku kt?
tukaendeleze uzi
Sawa mkuu.
Kule ni kusoma nyuzi za zamani, pm na kulike tu
dahhh wametuweza kweli
Hahahahaha
Huku huku ugenini, alileta lugha za ajabu. na ukiona umepigwa ban huku Duh ujue kweli ulikuwa motoooooo
wamempunguza kasi kidogo
Sure. ila yule nna uhakika 100% alikula ban
Basi yake wanasema ilikua too much maana huku mpaka ule ban sijui ufanye kosa gani tu