MINUS ONE

huwezi shindana na serikali lazima utachoka.Huyu dingo Ati anatolea sanse itoka,amekula zake mob sana.Jana he was warned but akajifanya otero matokeo ndio haya.@touchlyrics wekelea nyama ya jioni,@pamba naona mambo inaendelea sambamba,[SPOILER=“damu mingi”][ATTACH=full]100224[/ATTACH] [/SPOILER]

hio “king’eti” is shining its way for him:D:D:D:D

Swafiii. But ulikataa kuleta ya ule empress

Patanisho things naona.

Hio ilikuwa giza bwana picha nilikuambia hakuna naukipata juwa ni fake news.

Human Rights bla bla
Wacha wasonge

Ya empress iko lakini huwezi ona kitu ni giza tu.

Wachana hio niliona ,empress alisonga kisiri wakiwa wawili .

hapa nilijua iko maneno.

wakule moto kabisa, flying squad wapewe shot guns SPAS-12 to be specific jamaa akichapwa moja ya chest anafly

It was a way of sending a message to them wacha[SIZE=2] niwachane na hio hekaya ya chokaa. [/SIZE]

Tuwekeeni hivyo hivyo

Jirani tulia.

Hiyo kifua imepepetwa kweli…:mad::eek:

Kayole needs divine intervention

Kumbe unajua SPAS-12? Hio ama Jackhammer. Although huyu pia naona kifua imefanywa kichungi na .22

Hehehe…jack Hammer was just popularised by gamers[games], otherwise haikumake into mass production. Kwa hivo in its place wapewe Benelli shotgun…

He should be made to believe he can fly!

Very nice.walisafisha mdomo yake na dawa ya risasi moto.

Umecheza “Call Of Duty” excess sana.