Nimekipigania chama cha ccm mno pale jf ndani na nje ya ccm
Nimetukwanwa,nimesakamwa,kisa natetea ccm mengi sikua nayaunga mkono ila nikaona nivumilie tu yatapita ila sasa hali ni tete
Sikua najua kama tutafikia hapa tulipo nimekua miongoni mwa watu walowaita kina nape wasaliti ila nimejifunza kukaa kimya na uvumilivu umenishinda tangia kupotea kwa jf nimeamua kuanzia leo sitomuunga tena mkono magufuli
Ndugu zangu kama niliwakosea mnisamehe hususani kule.jamiiforums mimi ni binadamu kama nyie
CCM tumeijenga kwa maumivu, uchungu na hoja nzito tangia inaandamwa na lawama za ufisadi
Magufuli nimekupigania mtandaoni mpaka nikatumia mpaka na IDs fake na account fake mpaka facebook, jf na insta kwa sasa imetosha
Badala ya kuona mwanga tunazidi kuelekea gizani
Kuanzia leo sitomuunga mkono tena magufuli kwa hili la jamiiforums na mipango mibaya na tcra dhidi ya mitandao naogopa historia kunihukumu kwa hili simuungi mkono raisi wangu dk john pombe magufuli
cc @mitochini@msagasumu