hizi sahi ni chakula ya muchwa
Just finished my research about the correlations between hutu youths, wote ni wa muranga sana sana kangema na kandara= former mungiki youths. Hio group ni ile ilikuwa ina collect pesa kwa mats,wengine wanajiita wenye Boma means they control garbage collection from D to hizo quarries ziko Kayole past matopeni,by the way garbage iko na pesa mingi sana no wonder some politians are involved kama huyu MCA powerful huko…
Wee wacha zako. Unamaanisha if you met her at night where no one will see you atakupa useme hautaki??
Hiyo research yako fanya tena hawa under 20 walikuwa mungiki lini? The fact is wezi wa nairobi wametoka muranga na mukurweini. There was a time i witnessed 11 burials in one village in a span of 3 weeks na 10 ni copper na mmoja mob justice, tuliokoka nani acha kuturudisha kwa matope
sasa mkubwa, tutakutania wapi na hawa in the first place hata we ukifikiria?
Garbage ina pesa sana,imagine kwetu wanachukua 200 per household Kila mwezi.
Wacha ukali ,hao vijana kitu inawasumbua ni illiteracy yenye walizoeshwa ukifika ten years bora ukule muma unapewa gari kama kumi kuchukua collection ,kila gari ,200 ,you submit 1500 kwa handler wako the rest unajisort.
Ati muliokoka,mungich wako chini ya waba mjamaa.
Sorting hizo garbage ndio pesa ,are you versed with wenye boma huko kwa quarries?
Hawako tu eastlands,wao Pia human huko ubabini
No hebu nichanue
If this is the way government thinks about us no wonder we have survived for so many years and you continue hitting the wrong target
Saa zingine unapenda kusumbua ,nini imekushinda kuelewa ?
Si kusumbua but you are very far from the truth
unajifunia kuwa mugiki or is it gaza?
Uko kwa kina Abdul haujui chenye unaongea ,wacha watu wa profiling tufanye kazi yetu @Mjasusi ,jibu swami yangu ya Jana?
Kwa abdul nilienda juzi si uliona ata kwa ile list ya nakaisery tulitolewa among outlawed groups
Mungiki, isaiah 18 , joel 2
it is more of penye ntakutana na yeye nimuitishe burungo, not where either of us live.
Today you’re slow ,umeona wapi nimesema kuna mungiki,my point was the remnants huu were illiterate hawana kitu ya kufanya ndio wanachafua huko.