I am now 300k poorer @[SIZE=7]dark massai meffii wewe [/SIZE]
Nipee number ya huyo masai…
leta hekaya,…
What happened
How did it go?
Osiris si ulikuwa ukufe juu ya liver cirrhosis tukuje matanga kula githeri? Ama ulipostpone hiyo plan? Ama umeamua kugawia raia mali kabla utuwache?
Sasa Unataka kubembelezwa ndio ulete hekaya? Mbaff!!!
Leta hekaya ama unyamaze kapsaa
Weka hekaya kamili sio kungoja umbembelezwe kama dame ukiulizwa what happened.
:meffi::meffi:
Haueleweki, na ndio maana unapoteza pesa ovyo ovyo
Hii ujinga ya watu kupeana details nusu tulikataa.