@Meria Mata, What's happening in Bamburi...

Kindly confirm that you’re safe…

wakali Kwanza are wrecking havoc huko

Why now?

Hao maboyz wanatesa raia vibaya huku. They killed a boda boda and mpesa guy and stole m brazas pikpik.

Hatari sana

Sasa Uhuru alitoa Marwa na alikuwa dawa yao huko.Wamalizane mimi Mombasa sina chochote

usiwe hivyo kaka.

If the.community want those thugs can be tamed.But sasa hamtaki mnajiangalilia tu.Fanyeni jambo

was wondering marwa aliendanga tu hivyo