MEMES

I feel like offering pro Bono services to these guys and others like them whose pics have been misused in the name of memes [ATTACH=full]492441[/ATTACH]

If you wear a hat like that you deserve no pity.

Mungich wamesumbua Sisi na hizo kofia circa 2005. Walikuwa wakivaa hizo Lebo,Sahara,jeans pipe, shati za flower na starter. Ulikuwa Una waona unapewa njia. Failure to that ilikuwa Beecham. Siku hizi ghasia hata kukunja ngumi hawawezi juu ya third generation liquor. Watu meffi Sana.

True dat wasap hatuna warriors just lambastic puny mama’s boys like @administrator ju ya kukunywa tu nusu…manze kiuks hatuna bahati no wonder vijana wakiuk ndio ma wafula wa gulf…familia za wakiuk zimeamua uko ndio rehab