Meanwhile on Jamii Forum

[ATTACH=full]176255[/ATTACH]

Tumesema mara ngapi no peeping there?

Kubaff

Mmh kweli, ebu toa iyo suruali tafadhali nithibitishe alafu piga picha unitumie, ikiwa kweli ndo shepu yako kesho nakuja kukupitia mtoto tukwee Qatar airway twenzetu russia

Oya @T255 come kiasi.

This is a fine example of why we carry you Tanzanians babies.

:D:D:D:D:D na 90% ya wa tizedi watamuamini

Kutoka hawa watu wa jamii forum wakuje huku.Amejificha sana.Ama yeye ndio alikua underdog huko.Alikua anakuja kuturingia hapa.

Last seen Tuesday

:eek:

[ATTACH=full]176261[/ATTACH]

Tena mjiangalie nyie wa KE, kwenu huku kuna makabila makubwa MAWILI tu, wakati makabila yaliyopo BONGO ni 125 sasa hapo nyie jipangeni tu KUMEZWA na JAMII FORUM tunawapa kipindi kifupi cha KenyaTalk Kumwezwa na WABONGO

Aiseeeeeeee

Makabila 125 ni mingi/mengi/wengi.

What an appropriate name!

Umeongea tu kama ngosi!

Majina ya KIBANTU haya wewe, PITA HIVI

All I see on Jamii Forum ni AISEH, Daaaa, Mpwa

Hehe kwani mmeamini ni kweli

You would think this is not possible but look no further…safisheni mecho…
[ATTACH=full]176264[/ATTACH]

twingi

@Ngosi sio prepuce? ile marvin duduu inkuaga nayo? .[SIZE=1]nauliza kwa niaba ya mkwepa kodi[/SIZE]

I love women…