Mchongoano kati ya kenya na Tanzania.

Leo nimejua catapult inaitwa manati kwa kiswahili.Kiswahili kitukuzwe and that is it’s nature.Wow.

Learning is the continuous process from cradle to grave.

Sijui nikuchongoe now!?

:D:D:D:D:DNg’ombe!!

Ebu angalieni national newspaper ya tz vile inakaa ni kama imeandikwa na crayons.

Tanzanians are so fat they wake up on both side of the bed

Ngoja niwape taarifa aisee

weee kumbe mtoto Demiss kashafika huku nzuri sana

Wakenya wamekomaa mpaka wakijikuna wanatoa unga. twendeniiii

Wakenya hawajui kiswahili maji wanaita MMA

:D:D:D

Wakenya walifika namanga wakaambiwa hapa ni Namanga wakasindwa kutamka wakasema TUMEFIKA SOMANGA

WATz Mmewatch afrosinema sana hadi hamuwezi potea Lagos

Wabongo wanavichwa kubwa mpaka casket zao huundwa design kama ya lollipop!

@Mundu Mulosi sio wakenya wote :D:D

Wewe ni mfupi hadi unanuka kama viatu.

we mfupi mpaka ukikaa kwenye panado unaning’iniza miguu chini

wakenya weusi ka tairi za magari hahah haaaaaaaa

Ahahaha!! This is funny… Eti casket.

Wabongo ni wachafu Hadi panya wanawasengenya.

hahh haaa hiyo hatari mkuu