Hizo siri ndio wanakatalia
Reri
December 17, 2018, 3:23pm
22
Trojanex:
Net inaongea marination for about 12hrs. Nimewaijaribu kuweka maji baridi kwa the huge sufurias, unagrate ginger, ndimu unaongeza kwa hiyo maji then chumvi mingi. Tumbukiza nyama iwe fully covered and leave for hours. Then toa uchome. It was a bit good especially ginger taste. Jamaa mwingine alinishow ukichoma unamwagilia guiness
Hizo techniques zote ni valid
Lakini you are still looking for what you tasted in FineBreeze. Ama ?
Randy
December 17, 2018, 3:46pm
23
Trojanex:
Net inaongea marination for about 12hrs. Nimewaijaribu kuweka maji baridi kwa the huge sufurias, unagrate ginger, ndimu unaongeza kwa hiyo maji then chumvi mingi. Tumbukiza nyama iwe fully covered and leave for hours. Then toa uchome. It was a bit good especially ginger taste. Jamaa mwingine alinishow ukichoma unamwagilia guiness
Search for texas style brisket i think its worth the wait…
Reri
December 17, 2018, 3:51pm
24
You are right my friend. On Facebook BBQ groups, I have seen what those things can do to smoked ribs, steak or chicken.
Randy
December 17, 2018, 3:51pm
25
In uganda they have the mubende local goat…nilikisikia ukikula nyam chom ya io mbuzi hautawai tamani kula nyama ya breed tafaouti.
Randy
December 17, 2018, 3:53pm
26
Ingia youtube ujionee maneno.
Reri
December 17, 2018, 3:58pm
27
Randy, hii munyama ina itwa mubende goat sijawai kusikia. Thanks.
My friends who have spent time in UG usually just mention the unmentionable things they did with our Ugandan sisters.
mcrangu
December 17, 2018, 4:13pm
28
since sote tuko kwa nyama manenos…niulize na si kwa ubaya.kuna mnyama anaitwa dik dik???reason nimeuliza ni a pal of mine ameniambia tupange tukule "dik dik " na mimi naona kama ananichezea.
Bottoms
December 17, 2018, 4:53pm
29
Reri:
The dipping of the meat in salted water is a first step. Then he chomas the meat kidogo rubs olive oil, chomas some more for kama 5 minutes, then wraps the meat in a tin foil for final chomaring. Enda ona yeye boss because his own siri is in what he adds to the olive oil.
and that olive oil isn’t cheap
Ngaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaayyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
Mchuna
December 17, 2018, 5:01pm
31
Chunishwa sukuma nanii, eeh.
vuja_de
December 17, 2018, 5:20pm
32
Tembea Baringo.
Koriema goat meat is naturally salted
epoch
December 17, 2018, 7:27pm
33
Trial and error, Weka magadi
Inatakaga uende wakati wameshiba hahaha
Magadi achia watu wa githeri
Waah! Majamaa wanatoa kitu ingine ajabu. I think meat roasting is an art
Ama pande za Mbeere na Rwika. Mbuzi size kindogo but taste iko chojo