East Africa Television (EATV)
4 hrs ·
“Ningempiga Juliana Shonza lakini kwa hali ya dada yangu naomba nimuache, tumsubiri mjomba azaliwe. Sitampiga nitamuheshimu. Ila ninachotaka kumuambia mimi siyo Roma nitaiburuza BASATA Mahakamani ili wanyooke waache kuchezea wasanii”- Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi
Wanambeya tunamkubali Rais wetu, 2020 tutampitisha kwa zaidi ya 90% ya kura. Huyo viti maalum mwambieni aache kukurupuka
Wee bwege kwanza karibu. Na mimi nanukuu maneno ya mbunge “Bwege” ndani ya bunge hilo hilo, “CCM ni sawa na patasi sharti igongwe ndipo ifanye kazi” upo? Huyu bwege katishia CCM nzima.
kwahiyo kumuambia mtu utamfungulia kesi ni kumtishia maisha?
Nilikuwa naamini Wahaya ni watu werevu kumbe kuna mazoba kama wewe. Wazazi wako wamepata hasara kubwa bora hilo bao lililokuleta duniani mdingi angepiga nyeto.
Wewe mtoto mimi nimejiunga huku toka mwaka jana …
Huyo Sugu ni kichaa kabisa
Kama unatupenda sana wahaya basi tafuta muhaya unaae muona mwerevu sana akuoe kabisa
mkuu Rutashobolwa umenena kweli aisee… Sugu anaona ni kama vile yuko duia nyingine anastahili afungwe tena
Duuh! Mpk huku mmekuja
:D:D:D:eek:
Kusema ningempiga ni kutishia!? Halafu unajidaigi mwanasheria!!?
Kwa taarifa yako mke wangu ni Mhaya na ana akili nzuri tu nakushangaa wewe boya au ulikunywa maji machafu wakati unazaliwa?
Kuna tatizo hapo mkuu. Wapi kamtishia maisha waziri??? SHUBAMIT
Naamini neno kupiga hakumaanisha kumpiga N/W physically…nafikiri alimaanisha angempiga kwa maneno makali ila kutokana kib**di alichobeba amemsamehe hadi mjomba atakapozaliwa.
Lumumba comrade bila shaka, Buku saba kibindoni unaleta maji taka huku
JIWE ndio anaona yuko dunia nyingine.
SUGU sio wa mchezo mchezo yule. kusema atafungua mashitaka ni tatizo.??? kusema atampiga ndio kumtishia maisha coz aliongea kama feedback. SAITAN nyie
haya majamaa huwa hayajielewi, yanashangiliaga kitu yasiyojua baadae ndipo yanaona madhara. Sasa hivi hakuna buku saba maana hakuna jukwaa la kuitetea ccm. majukwaa yote yalioko hewani ni yale yanayompongeza jiwe
Halafu niliona Ndugai anatabasamu kwa mbali
Kama mimi ni mtoto kamuulize mama yako akwambie ukweli. Kujiunga mwaka jana ndiyo uchafue jamnvi huku ukimbizini. Kama mngekuwa na za kuwatosha msingetufungia JF yetu. Tuheshimiane ukimbizini huku
Ccm Bana… Mkiambiwa ukweli mnaweweseka fyuuuu