MBOSSO SASA NI BILIONEA WA VIEWS HUKO YOUTUBE - TANZANIA INAKIMBIA KWA KASI

#mbosso ameandika historia mpya baada ya kufikisha views bilioni 1+ kwenye mtandao wake wa YouTube, hatua inayomfanya kuwa msanii wa tano wa Bongo Flava kufikia rekodi hiyo kubwa.

Kwa mafanikio hayo, Mbosso anaungana na mastaa wengine wachache walioweza kuvunja ukuta wa bilioni moja za watazamaji YouTube, ambao ni:

  1. Diamond Platnumz – views bilioni 3.2+
  2. Rayvanny – views bilioni 1.4+
  3. Harmonize – views bilioni 1.3+
  4. Zuchu – views bilioni 1+
  5. Mbosso - Views bilioni 1+

Billionaire WA views za kishoga na bahati hapa Kenya mkamba wa carthozweni NI millimare wa KSHS . I guess Diana Maria ako na pesa mingi kuliko Samia suluhu

Youtube haijali hata ukiongea maneno machafu. Huyu hapa Bahati

Life is real siyo maingizo ya Wakenya

Najua wewe ni shenzi Sana na hauelewi na my point . My point is bwana mushienzi kutoka korongwe tanga , you tube likes na hio misenge ya kibongo haina pesa hard cash .

Hata ukiongea maneno machafu, huwezi ukauondoa ukweli, unajisumbua bure tu.

Stand Up What GIF by 800 Pound Gorilla Media

Unahangaika sana. Kwikwikwikwikwi

Hi