Mbaya mbaya

Nataka anza hii…kama sijapata pesa nzuri for the past 363 days, hii 500 bob nimetumia leo haiwezi nisotesha zaidi ya nilivyosota.

http://i.imgur.com/JxFITNR.jpg

https://www.youtube.com/watch?v=tmjaIJfK3Sw

3 Likes

Kwanini watu hulalisha ma Spiro ka viceroy, Kibao, blue moon etc kwa Meza lakini Johnnie walker, Jameson n the likes hazilalishwi kwa meza:)

7 Likes

Class mtu wangu, you don’t want pple to see what you are drinking…that’s y cheap liquor watu hulaza kwa meza na sio zile expe. Ya pili ni design ya chupa, u can’t get a rounded bottle to lie on the table

5 Likes

Bingi mungu atakuangalia 2016

4 Likes

Ombi langu pia anko

hehe never and never will take such acha maziwa inileweshe

Hapo sawa lazima liver ichape 2015.

3 Likes

Chapa hio kitu dry…stoney ya nini…

Spot on

Soda ni ya nini, inakaa wewe si mlevi sugu

mi nmezoea kunywa makali mpaka nkibuyiwa chupa mi usahau bado nalalisha

4 Likes

:smiley: :smiley: :smiley: :smiley: :smiley:

Mijinga :smiley:

Kaka, Viceroy is not cheap liquor.

Alafu udandie chapati mbili. Huwezi sota msito Bingi

Bingi usife moyo. Hakuna alizaliwa nazo (OK, pengine Uhuru).

Hi guks. Happy holidays.

Happy Holidays kairitu ka mucii, @aviator.

Na utigage kuhenia ati ni ukahee December…

1 Like

Am free this evening. Where do we swallow one as i console you ahead of your ANALysis?

[ATTACH=full]25699[/ATTACH]
[SIZE=2]
gif credit goes to @Bhangi Iwe Huru[/SIZE]