Mayekeke's Merc has been spared by mother nature

Serena hotel.

Hasara tupu. Akina @Afro will pay zero.

[ATTACH=full]162908[/ATTACH][ATTACH=full]162909[/ATTACH][ATTACH=full]162910[/ATTACH][ATTACH=full]162911[/ATTACH][ATTACH=full]162912[/ATTACH]

hii tuliona…a few minutes hapo chini…

Upande ya Engine ya hiyo merc iko intact?

Kabla nikue purr

:D:D:D:D:D i miss the green ones!

These are true birrioneas. Gari zote hapo ni KC_ _ _

Ameandika Serena Hotel. I also noted wanakaa upper middle class. In two-three years hizo gari zitakuwa kwa caryard za Thika Rd na Mombasa road.

Holy smokes hakuna insurance inasimamia such accidents,

Kwani comprehensive inamaanisha nini?

insurance ya Serena italipa but wenye magari wata have to prove that the hotel was negligent by failing to manage its flora. ubaya tu hiyo blue gum iwe ilikuwa nje ya compound yao ambako liability itakuwa kwa sonko.

.

Acts of nature hazina insurance

Hawa ni tenderprenuers.They will not feel it

Mwenye Allion na mwenye Mark X si wanaskia kulia walai

Kuna insurance ya kila kitu from political riots to butt implants.insurers are scammers and will do anything to make sure you pay through your orifices

by the way hii tuliona kabla uanze zile subjects za Miti mingi mashambani pale primary

Hizi gari kubwa unaona barabarani mingi huwa zimewekwa 3rd party.

Thats a Crown Royal Saloon and the other is s class.

Kuna mark X hapo? Mimi naona Crown

Says who?

Hehe who is willing to pay half a million every year for comprehensive insurance while third party is 10k. It surely doesn’t make sense.