Maskini akipata matako ulia mbwata

Kuna time me and some renegades were exiled from this village alafu mboy fulani anaitwa @west akatujengea a make shift village ndio tusichomwe na jua sana.

Ile kijiji ilikuwa a no holds barred village… Yaani anything goes from gory images to pornoste zile hadi ikusde inaonekana ikipigwa kigongi na mchwadez live and direct na hakuna cha thread kumalaysia.

Lakini siku moja ule mdosi West akasema he needs one more moderator to add to his band wagon juu wale Chinese parasites walianza kuvamia ile kijiji sana sana usiku. So West was looking for a mod who was based abroad.

Manze kiroho safi tuka nominate sufferah mwenzetu Jaymoh from Dubai ashikilie ile post. Msee akapewa. At first he was ule msee… Yaani mtu wa watu. Kidogo kidogo power got to his mungiki head.

Msee just changed abruptly. Na post thread explicit kama kawa napata inatolewa banae. Hata ule butcher man was not left out… Akitusi Raila inangolewa… Mimi nikitusi Uhunye pia inatolewa.

It got even worse… Msee started giving us warnings pale inbox… I remember one msg he sent me… He told me ati jaribu kupost hizo ujinga zako tena ujipate Siberia… Just imagine… Mtu tumesaidia apewe cheo sasa anatugeuka. And true to his word msee alinituma siberia not once or twice but thrice banae… Even one was a permanent ban.

Hapo ndio nilijua manze maskini akipata matako ulia mbwata. Sio poa lakini.

The grass only looks greener from your side of the fence @Jirani

na huyo mungich alienda wapi?

power and money always bring out the true colors of a man.

Mimi nimetoka siberia leo tu.

Umama, rubbish thread…even as a midget

Lakini ukitafuta mtu ako abroad to be vigil huku kukiwa usiku si its best upatiane someone in N. America or Australia due to the time difference

ndio mkakuwa ma-whiners? vile mlikuwa mnalia kwa mjaka sikudhani kuna siku mtawahi rudi huku ([SIZE=1]tail between the legs[/SIZE])

:D:Dwacha nicheke but cunt relate

si mzae unaona mimi ni righthand man wa purple?hiyo ndio matunda ya hio rebellion

Sasa bado uko cheynoble, Russia kwa nuclear zone ? Anyway power without control is dangerous !

I just needed villagers to read that again.

:D:D:D

:D:D:D

kiko hapa lakini anacheza chini sana
jina yake starts with BH and has 4 letters

:D:D:D:D:D
drouble follows you everywhere

@Bhai utajitetea ukiwa upande gani?

swafi midget,sasa huyo mungich ako kwa radar yangu mbaya,unajua huko kspot hata mimi nilikuwa mod?

lakini mbona huyu my sweetheart nef namungotea ana ni ignore?

Mimi sijawahi kanyanga uwanja ya ndege, ukinitaka nipate nyeri county