mashida za peasant kwa ploti

how is everyone doing…sparta yuko fiti thou l miss my queen Lola…wasee wa prediction kings poleni sparta ako sabbatical kiasi anarudi next week :smiley:

leo nimekumbuka heka fulani, wacha ni wachapiye

sparta alikuwa amehamia keja mpya ilikuwa fourth floor, l was new in the mtaa sikuwa najuwa ata weed mtu hubuy wapi?
sparta nika ingia phonebook kuangalia nani naweza ita ni bust a nut in the new man cave,
effort zote zikachapa ukutaa,so nika amua wacha nifanye usafi, nitakawasaki badayee :smiley:

sparta nikafua vest na shirt kadhaa nikaenda uko rooftop watu wana anika nguo,nikapataa line iko empty so nika anika bila wasi wasi na kurudi kejani offcourse kukawasaki

after like an hour nikapanda juu kucheki vest kama zimekauka juu solar ilikuwa imewaka sana
kufika napataa nguo zangu bana zimewekwa chini,na fala imeanika nguo zake kwa iyo line:mad:

nashanga nani uyu ana umama ivi kuweka nguo zangu chini, iyo ni madharau gani:eek:

nikaboeka sana nikachukuwa nguo zaangu zimejaa mchanga,lakini kufika kejani nikaona uyo mtu amenibeba ufala sana

nikarudi juu na kisu kukataa all lines na kuangusha nguo zote

ata zile zilikuwa zimekauka chini…

wacha mathee moja anionee anashout wewe kijana nini unafanya?
nikamshow mathee nakamua ngombeo_O

watu waka anza kuchungulia…wakitoka nje

ile mathaa iliangusha nguo nikajuwa,juu ilikuwa apo na perepere ikiokota zake

nikamuliza mbona uliangusha nguo zangu,
fala inajibu iyo line huwa ni yangu ni mimi nilinunua

nikamshow mathee iyo madharau haifai atakidogo,
nyangau inajibu wacha bwana yangu akuje

apo nilikuwa tayari kuface mtu anatakaa tuende one two ngumi

nikawashow niko fourth floor do no 28 mtu ananitakaa niko uko

na nikawawacha uko juu wakinugunika

kufika kejani nguo nikaziweka kwa bafu na nikaweka reggae full blast

wacha drama badayee naskia knock kwa mlango…napataa kibuda apo sura mbaya

budda …kijana ni wewe naskia unakata lines za bibi yangu za nguo?

sparta…yeah ni mimi:mad:

buda anajaribu kunivuta nje? :eek: kwanza naona amekuja na back up ya fellow jirani’s

apo ndio nikajuwa apa nikijifanya softy watanibeba ufala …nikarudisha mlango nikafunga
nikaenda nikachukuwa nyundo then nikafungua mlango:mad:

kutoka nao wakapiga mtu step moja nyuma…

buda anajaribu kuniambia kijana u will regret this,

nami nikajifanya mangaa mimi sipendi madharau ya utoto…

buda alikaaa halafu akaenda, got a call from caretaker nikamueleza vile kume enda, caretaker akanishow uyo mathee hukuwa na ufala sana.

next day jioni ati wanaitana meeting…izo ufala ndio sparta haendangi

sasa wacha siku moja tupatane na uyo buda kwa stairs:D:D the awkward moment and silence

izi mashida za peasant ni mbaya sana:D

54 Likes

:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D

Hao watu hujichocha ndio huwa wanyonge kabisa.

2 Likes

TLS, umeona uweke umama wa ploti leo siku ya wamama?

9 Likes

Anti climax, nilithania utakata huyo mama after kujuana, malizia hekaya

4 Likes

error: phrase “nicest tightest pussy ever” missing

2 Likes

iyo mama ilikuwa bila mellons na unajuwa mimi ni msee wa mellons the bigger the better:D

2 Likes

ugekuwa na mellons nigebambika lakini hauna

1 Like

alikuwa na pimples kwa chest?

:D:D:D:D…kwani hio ploti ilikua paipu kwa akina @vuja de venye keja yako ni No.28 & still counting

2 Likes

Kitambo nikiishi kwa mother, kulikuwa na neighbor matha mtiaji alikuwa anachukia mother sana akishinda akimkorofisha, nilikuwa natafuna Big G kaa 4 halafu naweka na super glue kwa keyhole ya mlango yake kila siku, alibadilisha lock mara kaa thao, nikaweka waru kaa 57 kwa exhaust pipe ya gari yake nilisuffocate hio engine yake, halafu lazima ninge’denki kwa mlango yake kila siku, akiamka asubuhi ni nduru tulikuwa tunasikia. Last nilisikia nikihama hio mtaa alikuwa anaenda kufanyiwa maombi na Pastor Manyuru.

39 Likes

:D:D

:D:D:D:D:D

:D:D:D:D:D

@introvert njoo mbio, ruka jam uje uone haya

5 Likes

:D:D:D kunia kwa mlango yake iyo idea ulitoa wapi? and what time were you doing this:eek:

@Mayeykeke MTU wa kudenki kwa mlango ya Neiba…@introvert kuja na crayons.

7 Likes

@introvert weka WD40 chini na ukimbie hapa haraka. Kuna raw material ya sketch

3 Likes

:D:D:D:Dhakuna kitu mbaya kama kubebwa mandazi

1 Like

Uuuwiii.
:D:D:D

1 Like

:D:D:D:D:D:D:D:D

Take me to your dealer!

1 Like