mashemeji

jana kuna kamwanamke kalileta nissan mzima ya mabrother zake na marafiki wapige bwana yake kama si wakanyama huyo jamaa angekuwa history

2 Likes

ka mbicha kako wapi?

ilikuwa usiku,nilitoa hao majamaa mbio na kipanga

1 Like

She is kikuyu, right? happened to a friend of a friend i know. Jamaa ni mkisii akamarry dame msapere alafu akaenda kuishi kwa ploti ya akina dem uthiru…as in hii ploti ilikuwa ina house bro za huyu dame plus baba and mama. Sasa hiki jamaa kilikua kinakuja home mlevi alafu anashika bibi war. Wife alikuwa anavumilia coz of love lakini siku moja unga ikazidi maji. Wakapanga njama…jamaa akaja akiwa mlevi…akaingia keja and as usual started quarelling wife…even b4 he starts chaparing her mabro walipita na mlango…jamaa alipigwa vita kama paka imeiba nyama butchery. Ni wife alimuonea huruma and told bros to stop…he was admitted for 2wks…nakumbuka tukimtembelea hosi Kenyatta alikuwa anaka horror juu ya ile panel beating alipewa

3 Likes

U r an overrated elder…mwanaume ni ngumi,panga achia wameru…

I have a village mate who also stays in Ruiru kwa ploti ya akina bibi na analetea bibi nyoko nyoko. He is teacher in one of the academies in Ruiru, alionwa war na meshemeji yenye hajawahi ona. And one of them is a cop hapo Ruiru, akienda polisi anapata ako na mashtaka ya kujibu.

5 Likes

hehehehe
sijui kwa nini na cheka

1 Like

he he he,hata hako kamwanamke kalikuwa kanasema,‘hatukusema tutamupiga’ lakini hao mungiki meno brown hawatawahi karibia base ya wakanyama.wakanyama ni mambo bad

2 Likes

Boss, street wars have no rules.

Wacha kuingilia ndoa za wenyewe kihi…

ungepiga nissan mzima na ngumi?

1 Like

he he he,kwani ulikuwa hapo

1 Like

I ave not asked for your help…i start war I can finish

Umewatch movie za ninjas?

This was Wakanyama’s neighbor, these guys were a “full Nissan” ulitaka aende na ngumi?

niliskia hekaya sikuamini

:D:D:D:D:D:D

so mzae tuseme unajua wakanyaks??

1 Like

Hii stori umeoa na unakaa kwa kina bibi ni upus moreso kwa ploti yao? It’s better uhame and I prefer seeing my inlaws only during special family occasions such as weddings, graduations, funerals etc. Hapana zoeana na inlaws.

7 Likes

;);):wink: