Masaibu ya uwesMAKENDE

[ATTACH=full]337003[/ATTACH]

Why did admin ban my fourth handle @uwesmakende ?

How many handles do you have in total?

Kwani munaishi pamoja na @cortedivoire ?
[ATTACH=full]337016[/ATTACH]

Hii 100bob wangekula nini as a family?

Mboga ya thirty, githeri ya finje nyanya ya kumi na kitunguu ya kumi.

:smiley: :smiley: sawa Buda

Kuna wakati nilikuwa naishi Githurai and 40 bob was enough for supper

How long ago was this…

Kitambo kiasi. Like twelve years ago

Two but I’ve not used the other one in years because admin alifanyia wizadry. Nikijaribu kulog in nayo site inachukua siku mbili kufunguka. :D:D:D:D:meffi:

takataka ya manispaaa