Marriage Bill 2017

HIZI NDIZO SHERIA MPYA GIRLFRIEND YANGU AMETUNGA VERSION YAKE YA MARRIAGE BILL 2017.

  1. Kama mimi si mrebo,usiniabie ati mimi ni
    mrebo. Ati dio tu niweze kuigia box. Ama dio
    carton. Ogea ukweri. Sitakuuma. After all,si
    wewe uriniumba. So makosa si yako.
  2. Ukinipromise utanipereka Zanzibar,tafathari
    timiza Ahadi. Si ati uniabie tutaeda Zanzibar
    arafu unipereke Nyahururu. Ama Sagana. Kwani
    Zanzibar yako inaedagwo na Boda Boda??
  3. Mimi ni mwanamke. Nahitaji kukaa vizuri. Na
    nahitaji kupewo pesa ya kujirebesa. Sio ati kazi
    tu ni kunipea shirigi hamsini hamsini kira mwezi.
    Unanipea hamsini nipereke wapi? Kwani ni
    sadaka??
  4. Tukikosana,WEWE DIO UKO KWA MAKOSA.
    ALWAYS. Na hatutabishana Kijana. Kubari makosa
    na unyamaze. Na mapenzi yaederee.
  5. Kama ni date tafathari nipereke hoteri za
    guvu. Hoteri ziko na gumo. Nimechoka
    kuperekwo kwa Mama Waithera. Na nimechoka
    kutumia vikobe za mabati. Na kukaria viti za
    bao.
  6. Kama mipago yako sio kunioa,tafathari kaa
    bari na mimi. Usiniretee mushene,ati ‘Oh
    nakupeda,ati Oh,wewe nitaishi na wewe mirere’’
    arafu uniwashanishe kama lorry imeng’oka
    muguu kwa barabara. Kichwa yangu inagoga
    harusi,kama yako haigongi arusi,jipe suguri.
  7. Nikiria unafaa unikamate taitly in your arms
    ukiniabia, “Sorry baibe. It gonna be orait” sio ati
    mimi naria na wewe uko hapo unanikodorea
    maitho kama thendema. Mùgúrúki úyú.
  8. Simu yagu ni yako. Na simu yako ni yagu.
    Hakuna cha ati “dont tash my phone” .
    Actually,kira Wednesday tutakuwo
    tukibadirishana Sim Card.
  9. Abia ma EX wako wote wakae bari na wewe.
    As far as possible. Kwanza wakiweza wahamie
    Meru. Kama hawataki kuchomwo kama mahindi.
    Na uwaabie wasiwahi kukutext. Kitu chochote.
    Ama wakati wowote. Ati kukuabia Gdnyt. Mimi
    dio nafaa kudecide the kind of night you will
    have.
  10. Ukioba,lazima uobe kwa sauti. Sio ati
    ujifiche kwa kakona ati unaoba kimoyomoyo,razi
    ma niskie kire unaabia Mungu. Ama rabda
    unamwabia aniodoe kwa maisha yako.
  11. Watu wetu wanakuwanga wenda wazimu.
    Washana nao.
  12. Razima uote na mimi. Every night. Either
    uote na mimi. Ama uote ukitegeneza pesa.
    Anythng else ni hatia. Na ukiota na mimi
    uhakikishe nimevaa vizuri. Sitaki kuaibishwo kwa
    doto mimi.
  13. Sipedi kukiss. I think ni ujinga kumumunya
    mudomo ya mtu mwingine,kwani ni peremede ya
    KSL??
  14. Sinaga hobby. So,sitaki maswari za ujinga ati
    “What is your hobby?” . Actually hobby yangu ni
    moja tu. Kukupenda. Iyo dio hobby yangu.
  15. Utanipereka kwenyu rini? Harakisha. Napeda
    kutebea.
  16. We will never break-up. Ukinipeda hauna
    bahati. Utanipeda mirere. Kama vire Yesu
    aripeda Kanisa.
  17. Sipedi kushikwo mkono in public. Kwani
    mimi ni mtoto?? Ama wewe ni baba yangu??
  18. Energy Drinks nimekataa. Hizo haufai
    kukunywa…Unataka Energy ya nini??? Ya
    kuniwacha???
    Ama ya kutoroka??
  19. Na pia sipedi kudara darwo ovyo ovyo.
    Unanidara kwani mimi ni Pages za Bible ya
    Juliani??
  20. Sex tutakuwa tunafanya the godly way. Yaani
    ire styro ya kawaida ya mababu wetu. Sitaki ati
    uniretee styro zingine hapa za kishetani. Ati “Oh
    rara ivi,ati Oh weka miguu nyuma ya kishwa…ati
    Oh twede kwa kiti…” Kwani wewe ni Devil
    Worshipper??

[ATTACH=full]113435[/ATTACH]
nv upussi ya mukuru kwa zukabaga inabakingi huko!

Chieth

meff

Brother, nowadays you are hitting the nail on the head. You are becoming abusive na hubebelezi watu wa Naswa. hehe you used to be a bit moderate

Summary

huyu ni wa nwasa?
is dismissing trash being abusive?
well, about being moderate…that description is subjective; but i always thought i had a caustic tongue for anyone who posted boochit, whether nwasa or chubilee…

Fuuuuuurrrrrrrkkkkk! Why?

[ATTACH=full]113438[/ATTACH]

Diep.

Mai…ruharo…

shairi

Sasa unatundikia na accent ya kikuyu.

Nguni wewe…

muthuti uyu

MMEEEFFFFIIIII

Sggshsjjshhehehhehejshehehgjdjdhjshd rjjrjrjkri

wacheni mwanaume afunguwe roho… brayha na kutambuam… fungua ata ukitaka ku fungua boneti…

NV nimecheka :smiley: :smiley: :smiley: , hata kama niliona ten years ago. Hawa watu wasikutishie, bring more

[ATTACH=full]113542[/ATTACH]