Mark register.

Tunajua leo billionaire @rollout anakunywa FAXE sita na hatusumbui.

@uwesmake atakunywa gilbeys half sankara ya kayole na hatusumbui.

@vuja de atakunywa jug Daniel’s 1litre Pumzika lounge na hatusumbui.

@The_Virus atakunywa best beer in the world Heineken na hatusumbui.

@FieldMarshal CouchP atakunywa white cup sita (beer ya General Kiguoya) lakini atatusumbua.

Homo @Web Dev already ashakunywa Chivas Regal 750 na hatusumbui.

@biraru atakunywa passport scotch mzinga na hasumbui.

@imei2012 anakunywa tusker mbili na pesa ya shopping ya nyumba na hasumbui.

@Mathaais atakunywa black ice tatu ziko flat alafu akaWetanguliwe na bibi na hatusumbui.

@Ice_Cube anashikia @Purr_27 mguu ya mbuzi pale kamakis alafu apewe peck kwa cheek na hasumbui.

@Meria Mata anakula miraa akingoja the next school to burn ndio aweke breaking news na hasumbui.

@Akeelah anakunywa tia maria kwa hao pekee yake na hatusumbui.

Mzee wa Akeela @Wakanyama anachimba choo futi saba na hatusumbui.

https://s-media-cache-ak0.pinimg.com/564x/0c/03/c1/0c03c1de8ca1e904951f596ee882da7d.jpg

@junkie NTAMNUNULIA GUARANA NA CHIPS NA HATASUMBUA

FKISED

Bwana asifiwe mandugu na madada?

Some very remote place in Bungoma County.

Nakunywa Legend.

Mimi nafanya shopping ya dinner, nipike, na sitasema uongo, kama @Gio . @Shahid ni Shahidi ktalk court

Na @It’s Le Scumbag atasoma threads na comments akikunywa chai na hatasumbua

CHAI NI WEWE

@Fala 12 amejishika tama Na funguo za Sacco mkono wa left Na hasumbui

Middle finger:D:D:D Lakini leo nanyorosha richot kwa hao nikiona got season six[ATTACH=full]49507[/ATTACH]

finksed

sisi huenda Pumzika Lounge na okiya ile siku nimelipwa advance

Huyo @rollout ni fraud

kwani unanyonyesha boss? Chai saa hii

Niko na Kingolonderess na kingolondelet tukiangalia cartoons na kucheka, na hatusumbui.

Baba je?

Uko na ufala kuliko DO 1.

leo inakaa nita-delegate duty juu kc iko njiani

Gk mdogo…