These are your everyday painkillers; they function slightly differently and have different characteristics. Learn something new today about Maramoja, Panadol and Panadol Extra
Mara Moja na Kaluma ni mihadarati
Nikichukua mara moja huwa sipati usingizi na huwa una ipea stomac ache.. nowadays kuchwa ikiuma napaka kaluma hio pande inauma… inatulia.
Kujipaka Kaluma ukienda kulala ni dalili ya uzee
Na wewe unavaanga sweater na socks ukiingia bed?
Huwa situmii dawa shifo kama naumwa na kichwa…
Mara moja gave me serious acidity after 3 months of almost daily use. Dedinitley a Precursor to ulcers.
Why use maramoja that often? Si uende tu hosi utibiwe. Iko na aspirin kama kiungo kwa ivo unachezea na ulcers na hypertension
Hio dawa hufanya tumbo inawasha washa asubuhi na kuniacha na a metalic taste kwa mdomo.
Na mboshori
Zile kofia huwa za wakikuyu pekee, sijai ona mtoto mluhya ama mjaka na mboshori
@PERDITION na @MTINGIZA_KITANDA husuguana kaluma kwa rasa kupunguza maumivu
Chichi men!Fire Burn
@ChifuMbitika hakosi yake saa moja jioni. That’s why the most intelligent one in the clan turned it into a biz. My one and only…
Uzee inaingia
There is a reason aspirin was abolished. Hio kitu inaweza kukuua
Mzee ulikataa kuleta mbuzi to my clan?
It leads to thinning of blood and consequently you may bleed to death in case of an injury
I prefer mara moja. Sasa mimi Action ndio nikichukua siwezi lala
Mimi hunifurisha macho plus inanicongest kifua.
Kaluma ni dawa.