Maponyi useless!

Bro yangu hudunga works huko northern Kenya, Samburu area to be specific na NGO fulani. Juzi alinishow story ingine ya kuchekesha ajabu. Ndio hii sasa:
Maponyi fulani kama tisa walitoka Nairobi juzi kwenda ku-escort mburungo fulani za serikali(educational) hizo sides. Destination ilikuwa Baragoi. Wakaenda tu poa but just a few kilometres to their destination, they were accosted by some young teenage herders with guns. About six in number.The boys started firing at their vehicles (a lorry carrying the goods and the police Landcruiser). The ponyis waliingiza baridi hata they didn’t fire a single shot back. Nasikia ATI walilala kama maiti kwa hiyo Landcruiser Yao. Vijana walikam na kuwapora pesa na other valuables. Kisha wakawachuna masikio na kuingia vichakani. The timid officers later requested for security backup from the nearby police stations. Imagine hawa ndio wasee wanafaa kutulinda as citizens. Too heartbreaking.

https://www.youtube.com/watch?v=jAK35Imapr0

Hekaya za jaba
[ATTACH=full]354318[/ATTACH]

Hiyo ni ukweli

Inge kua ni wewe unge fanya nini?

Unatoka na kuanza kufyatua marisasi

Armed, excitable, and impulsive Samburu/Turkana/Pokot teenagers are not to be trifled with. They’re a different breed

Huto tujamaa hukaa na rifle type zote, kutoka wakiwa kids. Ukija na g3 kama hao maponyi, wanasema wacha tulalelale juu wanajua hakuna kazi hapo. Kuna mturkana fulani ali offer kuniletea pistol mbili (bereta+glock), for free.

Hadithi Alfu lela u lela. With the current ongoing security operations the herders communities are walking on eggshells na hawakuiba bunduki uje your brother is just giving you yarns?

Your story would have been funny had you not used the 80s sheng word maponyi.
Naskia ni kama my dad ananipigia story.

For those older, wildlife was abudant in Kenya but due to poaching ( esp accelerated by the failure of neighbouring states) the numbers went down drastically. In the late 80s early 90s when Richard Leakey as newly appointed director of wildlife was given clearance to set up an anti-poaching force, he did not use that opportunity to extort bribes from politicians, peasants and the lower middle class to get their soft kids jobs. He went to Samburu, Pokot, Turkana etc districts and persuaded their teenagers to undergo paramilitary training and wear government uniform. Poachers walitii. So feared were Leakey’s rangers that kws came at that time to be seen as a national security threat and etc etc. The point of this is that in the shooters food chain, the general duty police are way below pastoralist bandits and are required to ‘vaa skirt’ if they encounter teenage bandits.

Niuzie moja

His account is true and was corroborated by another guy I know who lives in the same county

I could be your dad you never know. Only your mother knows for sure.

Never heard of that angle. Quite interesting

aki ya nani hao wote ni wezi.

[ATTACH=full]354322[/ATTACH]

[ATTACH=full]354323[/ATTACH]

:smiley: [SIZE=1]umeamua uchokoze serikali?[/SIZE]

Utaanzaje kupiga risasi ukiwa deep kwa territory ya wenyewe?

Its only when a mosquito lands on your testicles that you learn there are alternative ways of solving problems, sio violence saa zote, otherwise ukiipiga si ni makende yako itaumia bure?

waliiba,. in fact it was on the news last week