Mandari ya Jiji la Mwanza(Rock City)

https://www.youtube.com/watch?v=zZXRuRvOC1o

Je, kwa madhari hayo kisumu na Nairobi panaizidi kiasi gani Mwanza?

It’s, mandhari

Kutoka Kisumu Hadi Mwanza pesa ngapi kuvukia ferry?

Look for mwanza city view then compare to kisumu or nairobi

Nahisi haizidi hata 40 elfu za tanzania

Iyo ni elfu mbili ya Kikenya.

Ndiyo Kwahiyo siyo gharama sana kufika huku maana ni karibu

https://www.youtube.com/watch?v=zZXRuRvOC1o

Shitty small town. Can’t be compared even to Nakuru or Meru

Lol you make me laugh are you sure chief

Unasemea meru gani jamaa. Hio town skumyview venye naona inacheza league ya naks msee. Hio uwanja na roundabouts uliona wapi meru surwa

Hata mimi nimeahangaa