:D:D:D mapens yatawale
Njenga is a simp! :D:D:D
kienyech na shosh lazima wabondwe mara moja moja na kamjesh riwe riwalo buana
@NJENGAH = kageege
I know it cannot be my fried Alehadro @Benn Dover
:D:D:D MGTOW chairman finally found love. Alijua lazima afanye riwe riwaro to make Bae happy.
@Karoga ndio huyo hapo na tisho ya orange. No wonder Ghaseer imepotea sasa nikutumikia kifungo ikifanyia serikali kazi for six months.
@Muthafari angusha paybill we bailout the chairman.
Huyo mwingine ni AMG mwenyewe @Kodiaga ati anacheza kama lawyer wake
Mapens yarun dunia
Kuna tv set ya 7,000 na woofer ya 4,000?
Yenyewe Chinese manufacturers wanaokolea sana…
Ndio lakini ni vitu bure sana. Ni either ni fake ama zinachapa haraka urudi kununua tena.
Siku hizi kununua kitu kwa shop ya electronics tao na kutupa pesa ni kitu same. Juzi nimeendea bulbs fulani za kumalisa mosquito, niliishika kadha za kila room nikijua mosquito zitakipata. Nilifika kejani nikatoa ma bulbs kama nimeziweka. Usiku nili mumunywa na mosquito kama kawaida. niliboeka nkazitoa na nkazitupa na huko nje kama nmeboeka. Hiyo three k heri ningeshika airtime. Chinese wanatukosea sana. Nimesema sahi nikuendea vitu za ex-uk. Kuna place pale shujaa mall.
TV ya 7k ni gani hio
Kuna ma telly zinajiita vitron, unashika 32 inches na 7k. Telly ikona poor color quality. Unapata mtu ameshika 55 inches unashindwa ni ya nini na ita burn after a few months :D:D
zimesaidia walala hoi sana
walala hoi ni akina na nani birionea, na kwenu nyumbani hujanunulia wazazi
I bought an ex-UK office leather-second hand-which has held better than the new one I had bought in 2020.
Hapo kwa bulbs hata mimi I fell for that scam only to realize when it was too late. Mosquitoes are not atracted to UV rays but carbon di oxide. So, unless you get a carbon di oxide producing bulb, hii ingine ya Mchina ni upuzi mtupu.
@Yuletapeli anasema inaitwa Vitron.
Wazazi wangu wanajiweza, hawahitaji usaidizi kutoka kwangu wa kifedha
:D:D mchina…wacha tu. Mtapeli na anajua ku brand na ku package takataka zake.
:D:Dhiyo pesa ingine alipeleka wapi… 7000 +3500+4500+200+1000 haikaribii pesa aliiba.?? Jinga sana hiyo Njenga.