Kitaa kuna wanyama njoo uone vicheche ukiweza tembeza rungu kama comrade Kipepe.
Dada, taratibu.
unataka nafasi
Papuchi haijaasi
hapana mkuu ninaye
Mshikilie kisawa sawa, maana ake wenzako siku hizi wanatoa bureeeeee mixer wanahonga wenyewe.
ananipenda hawezi niangusha, sijawahi waza kuhonga
hahah hii kauli hiii
ni ya hakika
Sawa, kuzungumzia nafsi ya mtu hili sio swala la mchezo…
tatizo lako hutaki kuamini