Malaika gani kashindwa kufika Kenya uyo malaika au sheTani? iposiku atajiita mungu

Maendeleo tutaendelea kuyaona ulaya Africa ni laana

Kweli mkuu kwa sababu Waafrika ni wapumbavu kunuka

Halafu mtu anasema CCM Oyee!!

Halafu mtu anasema CCM Oyee!!

wanaosema ccm oyee akizake ziponusu

Wana akili vibamia kama Le babuz

Bashite alisema yeye anafuata baada ya Mungu… Kiburi cha ajabu sana hiki!!! Well, watakufa tu kama wanyama!!!

Ukiwa na mawazo ya kimaskini lazima uwalee wanao kimaskini tu…tume ya uchaguzi imetulazimisha mtu ambae anatuumiza kwa kasi ya kuzimu…hivi kina jingalao sasa hivi wanajisikiaje

Huyo atakuwa kibwengo

hahahahaha.labda atakuja kesho hapa kenya

Hmm!..

“Direction is better than speed”. Tz ya sasa tunaenda kwa kasi ya ajabu tusiko kujua.

Yanasikitisha sana…

Bavicha hoyee

mkuu kwani hujui kuwa mwanae kule dsm anajiita mungu???/ mtoto wa nyoka ni nyoka and vice versa is true

ulaya ulaya , mzungu mzungu

yajayo yanafurahisha

Halafu mijizi moja linakwapua kwa niaba ya mwenzie!! ipo siku tutavitafuta vichwa vyao

Bado hajapandishwa cheo… namuombea atangulie kwa Sr God ili apewe mamlaka zaidi