Hizi hekaya za makaa ya Kambiti huwa ukweli? Who has ever thought of experimenting?
Usicheze na uchawi wa wakamba!
Utakunia paka Iko alive
@cortedivoire alidinywa na @NUBIA huko kambiti akikimbilia gunia ya makaa ya bure
chunga sana
Ni myth…hakuna urogi wadau
Meffi
Hakuna uchawi.