MAJOR Developments LOADING...........

Naona hii serikali ikiangushwa na ile Civil Disobedience na Mass Action inayo load hivi karibuni.

He he he ! By whom? Kenyans are p.ussies.

Ikifika hio wakati nitakuwa tayari kuenda state house kuvunja hizo dirisha na feya.:smiley: Tutoe Sugoi man siaka aende exile Congo.

Not gonna happen.
Unless zakayo aanze moja ndio ataware milele

Day dreaming bro:)

Zakayo tutammaliza na siku moja. Kwanza Ile teke naeza mwai nikipata! Wacha tu.