https://www.instagram.com/reel/CopwthoDIc-/?igshid=MDJmNzVkMjY=
@Benn Dover kusema ukweli kuweka ao watoi watatu average life (yani akitaka maembe iko kwa fridge apple ivo ivo…juice natural unatoa matunda una blend sio rahisi) I have one kid and the costs are astronomical especially if you are blessed with a girl…tusidanganyane:cool:
Noma sana. Ni mzuri kuskia first hand kutoka kwa mtu amepitia hii maneno. Naweza imagine nataka dota wangu akue na kila kitu lakini mfuko inakataa inaweza kua a very stressful situation for a dad.
But naona OG ameshika lx570 juzi so jamaa anawezana na hawa watatu vizuri na bibi yake mzungu. Alafu watoto wako na strong father figure.
@PHARMACY patia hii nyangau one year supply of maembe ntalipa