Mai Mahiu Flood Victims 8 Months Later

Baada ya zile floods, jabass alienda huko na muhahe and promised them atawajengea upya mpaka akaomba nao. KTN wamefika huko wakagundua kumbe it was nothing but hot air. Baada ya jabass kuondoka ilikuwa mwisho ya hio hekaya na wakatuowa kwa dustbin la sahau. Na tukisema jabass ni muongo abductions ndio zinakuwa the order of the day, halafu mkumbuke kuna anus lickers kama @Billy_Drago amongst us

1 Like


Ilikuwa mnyamboh tu

2 Likes