Tuna rais wa ajabu mnoo
*uchumi zero
*jamii zero angalia viongozi wa dini anavyowasakama
*ufisadi uko pale pale 1.5 trilioni
*Uchumi umeporomoka mno
*Yaani hamna kitu huyu dikteta anachofanya
*Anachukia sana uhuru, demokrasia na vyombo vya habari
Huyu ndiye kiongozi tuliyenaye
dikteta uchwara
Mwifwa
3
Hakujiandaa kuwa Rais, alisukumiziwa
Haya yote anayoyafanya miongoni mwa wale wanaomkosoa ni uoga wake uliojaa hofu kubwa mno
Akiendele hivi, atakichuma anachokipanda
ntakua wa mwisho kuamini kuwa wewe ni lizaboni
Niliwahi kusikia sehemu kuwa Lizaboni ni Ally Hapi
haha ipo siku tutafahamu yaliyojificha
Huu sio uandishi wa @Lizaboni huyu ni copycat flani asiyejitambua.
Nimekuelewa mkuu
Nalog off
Ana dalili zote za kuwa ni yeye
Kama wewe ni Lizaboni basi muda utaongea