Huu ni ujumbe kwa Magufull, hawezi kushindana na wataalam kamwe.Amethfukuza Tz tumehamia upande wa pili.
Sasa naanza kuelewa maneno ya Lissu aliposema tumepata Rais wa Ajabu haijawahi kutokea
Huu ni ujumbe kwa Magufull, hawezi kushindana na wataalam kamwe.Amethfukuza Tz tumehamia upande wa pili.
Sasa naanza kuelewa maneno ya Lissu aliposema tumepata Rais wa Ajabu haijawahi kutokea
[ATTACH=full]175772[/ATTACH]
Kaa jomoniiiii…mama som huyo?
Ktalk waweke app aisee maana si kwa kuzoom huku kitufe cha send kiko mbali.
wasio julikana around you
Inasikitisha sana…
Cc: @Mahondaw