Povu
Povu ya nini sasa?Kuna mtu ame kulazimisha lugha ya kuongea? Toa pumba hapa dogo
Povu
Povu ya nini sasa?Kuna mtu ame kulazimisha lugha ya kuongea? Toa pumba hapa dogo
Rudi kwa section ya mapenzi na mahusiano. Ukana feelings sana
Ukweli mtupu!
Nairobi naona ikifunguliwa next week
[ATTACH=full]302234[/ATTACH]
EA is Tanzania,They cant reach anywhere without TZ.Magufuli is brilliant among the rest in EA.
I see Kenya as a puppet of whites,Magufuli has refused all those copy and paste from Western.
Ujinga wenu ni kuwa mafuliko yameua more than 200 people and you dont seem to take serious measures mnadanganywa na western ili mpewe mikopo na muendelee kuamrishwa na kutawaliwa.
Fox21
Kunywa soda nitalipa mzee.
Hawa jamaa bado wapo utumwani wala huwa sishangai,wanadhani kujikomba kwa wazungu na wao watakuwa wazungu pia,nchi inanuka mikopo mwisho wa siku wana amerishwa ktk maisha yao wenyewe.
Amini nakwambia hiyo conference Kenyatta ametumwa na wazungu ili kuftraturate Tz,I like Magufuli coz he refused to join them.
Fox21
Nilikuja hapa kusema hili. He’s a angry low self-esteem dude with a revenge boner and TZ is suffering for it.
Vumbistan na Wavumbistani wana mashida zao kaka sawia na nchi nyingine kote duniani.
Ila shida ni moja tu, mbona Magufuli asiungane na nchi nyingine afrika mashariki ili tujua namna ya kukabiliana na hili janga la korona?
Mbona Magufuli anaweka uzalendo wa Tanzania mbele ya uungano wa wanaafrika mashariki?
Ugonjwa la korona halina mipaka, nasi kama wanaafrika mashariki huwa hatuna mipaka, yaani “free borders”, ndio maana mkutano ulikuwa wa kutafuta namna ya kuja na suluhisho kama wanaafrika mashariki, maana sisi ni kitu kimoja.
25 TZ drivers and 3 kenyans today test positive for Covid 19 at Namanga border. They were entering Ken from TZ. The wabongos were sent back to TZ authorities,Yet no Covid updates from Tanzania since last week.
Priss start by kumnyima loan pale KWFT …
Kush niaje
Kwani hiyo PhD yake alifanya na Kiswahili?
Magufuli is a tiny-brained egoistic twat.
Poa sana khasia … sai unapikia chai wapi now that Kayole iko under lockdown?