nilikuwa huku majuzi…
[ATTACH=full]94572[/ATTACH]
nilikuwa huku majuzi…
[ATTACH=full]94572[/ATTACH]
You can get hit by that passing truck for all we care.
i love you too @Mathice!..
niaje ulicome na ki truck kutoka majuu
naona @Meria Mata ashakuunganishia kazi ya makanga wa trailer
Like i said;
I came to make Kenya great again na kusimama MCA.
I spotted an opprtunity ya kuleta makaa na high grade construction Sand kutoka Eastern province na on my way i take them maji ya mtungi na General vegetables (foodstuff) on my way up.
Why Kenyans in Kenya didnt get on to that idea is beyond me seeing that Sirlkal ya Jubillee imejenga Barabara na miradi yote that was missing 5 years ago.
Wake up you Lazy mourning Kenyans!!!
Haha Waweru si ni kuunganishe place utapata sand karibu?
picha ya last month hii
kimbe ulirudi kujenga nchi
the time hukuwa na internet ulikuwa ukambani, saa hii umerudi Hackney. hiyo biz kwani ni ya mwezi moja?
Huko ni thugunui kwenu
You are in KENYA
Naona kwa hio side mirror umejaza kitambi ya mashida
Inaitwa kitambi ya shida na uchoyo
:D:D:D:D:D:D:D:D:D
ka buda izi maeneo zinanikalia Rumuruti
Heading to Wawesh crib in the middle of nowhere?
Yep. 29/3/2017 Saa nne kasoro dakika mbili. Huyu jamaa uongo ni kama alifundushwa na nyanyake wakiota moto kila jioni.:D:D:D
@Ka-Buda. What happened to your truck business?
Alikojolea na wale maliar wake.