Magical Kenya... Guess where i am for 100 Likes......

nilikuwa huku majuzi…

[ATTACH=full]94572[/ATTACH]

You can get hit by that passing truck for all we care.

i love you too @Mathice!..

niaje ulicome na ki truck kutoka majuu

naona @Meria Mata ashakuunganishia kazi ya makanga wa trailer

Like i said;
I came to make Kenya great again na kusimama MCA.

I spotted an opprtunity ya kuleta makaa na high grade construction Sand kutoka Eastern province na on my way i take them maji ya mtungi na General vegetables (foodstuff) on my way up.
Why Kenyans in Kenya didnt get on to that idea is beyond me seeing that Sirlkal ya Jubillee imejenga Barabara na miradi yote that was missing 5 years ago.

Wake up you Lazy mourning Kenyans!!!

1 Like

Haha Waweru si ni kuunganishe place utapata sand karibu?

1 Like

picha ya last month hii

1 Like

kimbe ulirudi kujenga nchi

1 Like

the time hukuwa na internet ulikuwa ukambani, saa hii umerudi Hackney. hiyo biz kwani ni ya mwezi moja?

Huko ni thugunui kwenu

You are in KENYA

Naona kwa hio side mirror umejaza kitambi ya mashida

Inaitwa kitambi ya shida na uchoyo

1 Like

:D:D:D:D:D:D:D:D:D

ka buda izi maeneo zinanikalia Rumuruti

Heading to Wawesh crib in the middle of nowhere?

Yep. 29/3/2017 Saa nne kasoro dakika mbili. Huyu jamaa uongo ni kama alifundushwa na nyanyake wakiota moto kila jioni.:D:D:D

1 Like

@Ka-Buda. What happened to your truck business?

Alikojolea na wale maliar wake.