Niko juu ya miraa, nachana Jua lazama inami face Udogo wangu na umaskini wangu waniepusha mengi makuu Email za job zinaflow tu. Eti systems down mahali. Kesho Meru twasija. @webdev kila kitu juu yangu hata big G
Ni maghrib.
Mshukuru mola kwa sujud ya 630
Sina kosa na mtu
[ATTACH=full]54613[/ATTACH]
Hata kulala atalala juu yako?
Usijitafutie kosa kwangu
Ustadh, wacha tungoje asr
Kesho?
ALFAJIRI kesho lakini sai ni isha
Ulikuwa umeamka Asr which us 4pm n it had passed. What u meant is fajr