Madrid inaua nyoka

2-5 in the 77th minute. Liverfools wafunge club

Madrid are monsters

umbwa ya Liverfool @Condor leta mdomo refuu hapa ghassia

Liverpool waliacha kijana akaenda

[ATTACH=full]497020[/ATTACH]

I told guys wapatie Madrid walkover wakakataa

Hakuendangi hivyo kijana, hii ni biashara, tiko lazima ziuziwee mafala, meaning mechi lazima ichezwe

Liverfools :smiley:

Kwanza walikamuliwa bila huruma at Anfield. Hawa majamaa hupiga mdomo sana watu wakikuja kwao. :smiley:

Penda Sana Gakpo and Nunez went there thinking that they will both champions League na premier league. They will be alternating ballon d’Or winners.
Hiyo team njegaaah ita piga kama mbrrkenge.

Tulia next season we shall win everything after a major rebuild.

Klopp never knew what he had when he had it. And they were paying him sijui 100k a week. Hata Arsenal hailipi talent poa kama ya Sadio that badly!

Nani atapunguza kiburi ya Real?? :D:D

Mofos think UCL ni birthright banae

C’mon, I was just being sarcastic chief.

lasima tukubali hio Okombe even a dead real Madrid team wins it . real madrid blood runs inside the big eared trophy

Vinicius ndio alikua anatesa hiyo team sana