Kwani leo madazi haiivi… over to you @highschooler @Aurak
Saaaasa weweeeeee…
Hata mimi nashindwa na niko na shai hapa.o_O
iliiva kitambo sana na makaratasi tukapea wakameat afunge nyama
wah manze wacha nione mabrathee, maisaa yake lakini
Wapi TBT mtu yangu?
Niko Chumani, somewhere between kilifi and Malindi and on phone. Nikifika Mombasa nairusha mara moja.
@bjurmann definatly knows this place
za telegram zilikuja mapema. Na kadhalika kibao as usual. Pongezi kwa mafisi!
Touchlyrics…mandazi haijaiva mzae…naangalia terengram sioni mandazi…hahaaa…okoa…iko njaa
chezea chini bana. acha kutumulika
:D:D:D:D:D:D:D:D
.o_Oo_Oo_Oo_Oo_Oo_O
weka mimi kwa group buana
[SIZE=2]hata mimi tafasari[/SIZE]
Imagine uko ndo ocha…unajua place yaitwa matsangoni
[FONT=Tahoma][SIZE=2]Pia mm priss[/SIZE][/FONT]
ni inbox details nikuadd asap
Unacheka? Delete hio comment ya ufala hapo juu
kwani umerauka aje leo uncle?