Normally asubuhi my sweet lovely beautiful ever young kikuyu wife huamka mapema ananipikia breakfast before i drop her at work . normally mimi yeye hu pack ugali na nyama na skuma which i eat at 10 bukusu style but leo ameniwekea chakula tofauti . how healthy is this ? ni kwa sababu ya august 8th nime badilishiwa diet ama ? my nutritionist is on strike so saidieni mimi .
Eish Uwes unajua kuna watu leo wanakufa njaa prezz aki dab na wewe ukileta ma feelings hapa.Shukuru ina nyama tatu angaa na ulize bibi " kuonia ngai ndaa" inamanisha nini.