madaktari siadieni navy seal dryfry artist

Normally asubuhi my sweet lovely beautiful ever young kikuyu wife huamka mapema ananipikia breakfast before i drop her at work . normally mimi yeye hu pack ugali na nyama na skuma which i eat at 10 bukusu style but leo ameniwekea chakula tofauti . how healthy is this ? ni kwa sababu ya august 8th nime badilishiwa diet ama ? my nutritionist is on strike so saidieni mimi .

[ATTACH=full]82425[/ATTACH]

1 Like

Hiyo ni kalamu ya ikwete hapo?

13 Likes

Equity Bank :rolleyes:

wacha umeffi na ukule chakula ya okuyu kwani uliexpect nini venye ulikua unalipa dowry?? alafu Jaduong bedo nango gi tich cha, asota dala kae marach

6 Likes

Umewekewa chakula cha mtoto!!!

2 Likes

Hmmm!

1 Like

abo organize ntie ng’at moro asewuoyo kode

2 Likes

madam leta advice

ni breakfast , so ni kumalizwa namalizwa ama ?

unaona hii mchele ikinifikisha saa saba ?

3 Likes

hiyo si ku-scan…ni scrutiny:D:D:D:D:D:D

9 Likes

Hii ni kumalizwa systematically! Bukusu original hata uji hanywi, uliza sajini @pamba. Uji ni ya watoto.

5 Likes

Eish Uwes unajua kuna watu leo wanakufa njaa prezz aki dab na wewe ukileta ma feelings hapa.Shukuru ina nyama tatu angaa na ulize bibi " kuonia ngai ndaa" inamanisha nini.

1 Like

hehe nyali kabisa!

1 Like

[SIZE=5]wapi kathufu litre mbili ? hio ime pikwa na shiny eye kweli ![/SIZE]

2 Likes

M

Mos

Khocha hiyo ni chakula poa ya mchana done by someone who loves you…mkumbushe tu aongezage tu-mboga…

3 Likes

Unakunywa thousands Sankara na mamomo na hauwezi afford kujinunulia lunch unabeba lunch box kama student.
WTF??

12 Likes

convenience, my friend…

7 Likes

Hii ni chakula za doggy ya mhindi iliobaki. …so pandre akaona badala atupe dish kheri apatie man lichoti

11 Likes

Hio nyama iko na mafuta poa

1 Like