Mabati single room in rongai Nairobi. Rent 3k

1 Like

Mwizi anakuja fungua hapa ama nipige teke

3 Likes

Ikifika hapa rudi ocha tu

Unaishi hapa ndio usave pesa utume ocha alafu unapata bibi walikula na msee wa boda

4 Likes

Anakuja na makasi ya kukata nguo. Hizi nyumba ni kutupa kwanza kutekana ni stress tupu.

1 Like