Leo nakaa niwatch wazito Arsenali wakikamua Liverpool.
Koops will get some footballing lessons tonight.
Leo nakaa niwatch wazito Arsenali wakikamua Liverpool.
Koops will get some footballing lessons tonight.
siku hizi naongea 95th…jana uliona man u wakipoteza points hata baada ya kusaidiwa na ref…
Liverpool hawana Skrtel na Coutinho. Wataanza na Kolo Toure hapo nyuma. Watawekwa na Arsenal more than 2 goals.
Game kama hii siwekangi pesa. Too many variables
hizi wiki mbili za njaanuary uko vipi, red ama green?
He he not so bad though on sunday zilinikataa
Hii game naona niweke GG
GG ndio nini?
if you do me I do you…
Both teams to score. Namna hii
[ATTACH=full]27200[/ATTACH]
Game ya norwich pia ni GG
Norwich, ov2.5
Kwanza Spurs v Leicester itakuwa moto sana.
Kloop
Toa hiyo GG haraka. iyo squad ya Liverpool haiwezi funga.
mundu mlosi ebu nisaidie na link ya game ya arsenaly on kodi priss
mundu mlosi ebu nisaidie na link ya game ya arsenaly on kodi priss
Yessssss tunakamua nyoka…
GG imeingia within 15 mins
Gg anaezA lala na viatu